Dⓤⓡⓤⓢⓤ na Fⓐⓘⓓⓐ za Kⓘⓔⓛⓘⓜⓤ📖.

Description
⇨Ni channel iliyosheheni Dondoo Audio na makala mbali mbali za kielimu kwa lugha ya kiswahili🇹🇿 chini ya ✍️ Al'akhy--ⓐⓑⓤⓤ—ⓣⓦⓐⓛⓗⓐⓗ RASHIDI ADINANI ↭وَفَّـقَـهُ الـلّٰـه↭
📲0621-443709/0783-020768.
We recommend to visit

advertising :- @life1Cee

Fan Channel Domelipa ?

Last updated hace 2 meses

Last updated hace 1 año, 3 meses

Hech kim mukammal emas...
Shuning uchun qalamlarda o'chirg'ich bor!

Last updated hace 2 meses, 1 semana

3 weeks, 2 days ago

📻 MANENO YA HEKIMA📻

Wamesema baadhi ya Watu wenye hekima na busara:

" الكلام اللين يغسل الضغائن المستكنة في الجوانح "

((Maneno Laini yanaosha makando kando yaliyo kita ndani ya kifua.))

[مداراة الناس لابن أبي الدنيا (96)]

https://t.me/Durusu_na_Faida_za_kielimuTz01

3 weeks, 2 days ago
3 weeks, 2 days ago

Na wenye Lugha yao Wana desturi na mifumo yao ukiandika neno ((RASHIDI BIN ADINANI)) hapo umeandika Kiarabu sio Kiswahili,

Halafu kwa Waswahili hapo hilo ni Jina jingine!!!

Si mnajua nyie jinsi gani herufi Moja tu inaweza pelekea mfumo wa SERIKALI ukakukataa!?

Sasa hawa Jamaa sijui haya wanayatoa wapi wallāhul mustaan!!!

Ila wao wamejalia hilo ni katika Munkari mkubwa!!!

(5).Kuandika Salamu ya Kisheria kwa tamko lake la Kiarabu kwa kutumia herufi za Kiswahili mfano;

((Assalaam Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh ))

Kuandika hivi kwa Jamaa zetu wao huu ni Munkari mkubwa mno Subhanallah!!!

Uliza Dalili sasa ndipo utaona Maajabu na Ufahamu wa hovyo!!!

Tushasema Munkari Ili uwe Munkari ni lazima aseme Allāh na Mtume ﷺ pekee au Ijimaa!!!

Ama Istibantwi hilo kila Mtu ana Ijitihadi yake kwa upeo wa Elimu alio kuwa nao,

Vipi ujalie kuwa ni Munkari mkubwa!!!

Kwa kila hali haya ni baadhi tu ya mambo ambayo Watu wake wamejalia kuwa ni Munkari Ili hali ukiyahakiki sio kama wanavyo dai mbali tu na maneno ya Sheikh yako wazi katika kutahadhalisha hili,

Na Allāh ndie Mjuzi zaidi tunamuomba Uongofu na Tawfeeq na atujalie Afya na Salama.

https://t.me/Durusu_na_Faida_za_kielimuTz01

3 months, 1 week ago
3 months, 1 week ago

???HUKUMU YA KUWEKA MKONO JUU YA MSAHAFU NA KUAPA!!

Amesema Sheikh Sway Alfawzani -حفظه الله-:

|[ وضع اليد على المصحف والحلف لا أصل له وإنما هو من فعل العوام. |]

((Kuweka mkono Juu ya Msahafu na kuapa ni jambo ambalo halina Asili ni miongoni mwa matendo ya watu wa kawaida si wenye Elimu.))

?| (شرح إغاثة اللهفان ١٤٣٧/١/٢٦).

Kiapo ni tamko la kuapa wala haifai kuapa kwa asiye kuwa Allāh,

Mfano wa kuapa ni kama kusema "Naapa kwa jina la Allāh" au kusema "Wallāhi au Wabillāhi au Watallāhi"

Au kuapa kwa sifa ya Allāh iliyo egemezwa kwa Allāh mfano ukasema "Naapa kwa Elimu ya Allāh au Nguvu na Uwezo wa Allāh" n.k

Ukishatamka tu umekwisha hiyo kiapo kishapita haihitaji ushike Msahafu wala upitishe kidole cha shahada shingoni!!

Wala si katika kiapo maneno haya wengi hupenda kuyatumia "Haki ya Mungu na Mtume"!!

والله أعلم.

https://t.me/Durusu_na_Faida_za_kielimuTz01

3 months, 1 week ago

??? #HIZBU_MAFUTA WANALAZIMISHA KUTUITA #HAJAAWERA KWA DHULMA ILI HALI SIE SIO WAFUASI WA SHEIKH YAHYA حفظه الله تعالى !!

Amesema Sheikh Rabiī Al-madkhaliy حفظه الله تعالى:

فأهل السنة لا ينتسبون إلا للكتاب والسنة لا ينتسبون إلى فلان وفلان، ويحاولون أن يرمونا بهذه الألقاب، وهابي، جامي، فلان ...هذا كذب نحن دعاة إلى كتاب الله وإلى سنة رسول اللهﷺ .

((Hakika Ahlu Sunna hawajinasibishi na chochote Ispokuwa Kitabu na Sunna kamwe hawajinasibishi na Mtu Fulani na Fulani,

Lakini watu wa batili wanajaribu kutunasibisha Sisi na Lakabu hizo WAHABI mara JAMIY mara (HAJAAWERA)!!

Huu wote ni Uongo Sisi ni Walinganizi kuelekea kwenye Kitabu cha Allāh na Sunna za Mtume ﷺ.))

المجموع ج15 ص186

https://t.me/Durusu_na_Faida_za_kielimuTz01

3 months, 2 weeks ago
3 months, 2 weeks ago

???FADHILA YA KUSAMEHE NA KUSAMEHEANA NA NYOYO KUWA SAFI NA KUNJUFU!!

Kutoka kwa Abu Hureyrah رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ ,

kutoka kwa Mtume صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ amesema :

(( مَا نَقَصَتْ صَدَقَةٌ مِنْ مَالٍ، وَمَا زَادَ اللَّهُ عَبْدًا بِعَفْوٍ إِلَّا عِزًّا، وَمَا تَوَاضَعَ أَحَدٌ لِلَّهِ إِلَّا رَفَعَهُ اللَّهُ ))

|{Swadaka haijawahi kupunguza Mali na Allāh hakumzidishia Mja kwa Kusamehe ila Utukufu na hakujishusha yoyote kwa ajili ya Allah ila Allāh humnyanyua.}|

? صحيح مسلم - رقم : (2588)

Kutoka kwa Abu Hureyrah رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ ,

Hakika Mtume صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ amesema :

(( تُفْتَحُ أَبْوَابُ الْجَنَّةِ يَوْمَ الِاثْنَيْنِ وَيَوْمَ الْخَمِيسِ، فَيُغْفَرُ لِكُلِّ عَبْدٍ لَا يُشْرِكُ بِاللَّهِ شَيْئًا، إِلَّا رَجُلًا كَانَتْ بَيْنَهُ وَبَيْنَ أَخِيهِ شَحْنَاءُ، فَيُقَالُ : أَنْظِرُوا هَذَيْنِ حَتَّى يَصْطَلِحَا، أَنْظِرُوا هَذَيْنِ حَتَّى يَصْطَلِحَا، أَنْظِرُوا هَذَيْنِ حَتَّى يَصْطَلِحَا ))

[{Milango ya Pepo hufunguliwa siki ya Jumatatu na Alhamisi husamehewa kila Mja ambae hakumshirikisha Allāh na chochote ila Ispokuwa Mtu ambae kati yake Yeye na Ndugu yake kuna #Ugomvi!!

Husemwa;

Waacheni Hawa wawili kwanza Mpaka wasuluhishane!!

Waacheni Hawa wawili kwanza Mpaka wasuluhishane!!

Waacheni Hawa wawili kwanza Mpaka wasuluhishane!!}]

? صحيح مسلم - رقم : (2565)

Amesema Sheikh Ibn Baz رحمه الله :

هذا يَدُلُّ على أَنَّ الشَّحناء مِن أسبابِ إيقافِ المغفرةِ عن المُتَشَاحِنِين، وهذه مُصِيبَةٌ كَبِيرَة، فالواجبُ على كُلِّ مُؤْمِنٍ أَنْ يَحرِصَ على المَحَبَّةِ لِأَخِيهِ وَالصُّلْحُ مَعَ أَخِيهِ، وَعَدَم الشَّحنَاء، تحلّ المشاكل بِالطُّرُقِ الطَّيِّبَةِ وَالتَّسَامُحِ لا بِالشَّحنَاءِ ولا بِالتَّهَاجُر .

((Hii inaonesha kwamba Ugomvi ni sababu ya kuzuiya Maghfira kati ya wale wenye kugombana,

Na huu hakika ni Msiba ulio mkubwa,

Jambo la wajibu kwa kila Muumini ni kwamba awe na Pupa juu ya kumpenda Ndugu yake na kufanya Suluhu na Ndugu yake na kusiwe na Chuki na Ugomvi,

Hivyo mizozo yote itatuliwekwa Njia nzuri kwa kusameheyana Si kwa Ugomvi wala kuhamana.))

? شرح رياض الصالحين : (313/4)

https://t.me/Durusu_na_Faida_za_kielimuTz01

3 months, 2 weeks ago

√|?|√ WINGI KATIKA SWALA YA JENEZA NI KATIKA MAMBO MUHIMU..!!

Kutoka kwa Mama Ãishah رَضِيَ اللهُ عَنْهَا amesema:

Amesema Mtume ﷺ :

|[ما من ميِّتٍ تُصلِّي عليه أمَّةٌ من المسلمين يبلغون مِئَةً . كلُّهم يشفعون له . إلَّا شُفِّعوا فيه |]

((Hakuna Maiti akaswali na kundi la Waislamu wanao fika mia Moja wote wakimfanyia uombezi ila Ispokuwa Uombezi wao utakubaliwa juu yake.))

?| (رواه مسلم ٩٤٧).

?Yaa Allāh tuwafikishe.

https://t.me/Durusu_na_Faida_za_kielimuTz01

6 months, 2 weeks ago
We recommend to visit

advertising :- @life1Cee

Fan Channel Domelipa ?

Last updated hace 2 meses

Last updated hace 1 año, 3 meses

Hech kim mukammal emas...
Shuning uchun qalamlarda o'chirg'ich bor!

Last updated hace 2 meses, 1 semana